Testimony College of health Science Application Form for 2022 / 2023
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu akielezea jambo mbele ya Wadau wa Afya,
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inatarajia kuwa na watoa huduma wa Afya ngazi ya jamii (CHWz) Zaidi ya 30,000 ifikapo mwaka 2020 katika vijiji Zaidi ya 15,000 nchini. Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu katika Mkutano wa Wadau wa Afya, mashirika yasiyo Yakiserikali, na Serikali katika…
11 Feb 2016
"...this is the only book I have come across that gives consideration to student midwives. There are many study skills books available for nursing students, and although this book is aimed at both, it does take into account the differences between the two professions. ...this is a useful book which delves deeper than its cover would suggest." MIDIRS Midwifery Digest This book is an essential…
This book is a helpful companion for those hoping to become nurses or midwives. Applications to nursing and midwifery courses are on the rise, and with limited university places available, competition is high. This accessible guide, packed with up to date and practical information, will guide you through all stages of the admissions process and maximise your likelihood of success.
Uzingatiaji wa maadili ya kitaaluma kwa wafanyakazi wa afya ni mojawapo ya mambo ya msingi sana katika utoaji wa huduma bora za afya. Uzingatiaji wa maadili huathiri namna watoa huduma wanavyohusiana na watumia huduma Hivi karibuni nchini Tanzania, kumekuwa na ongezeko la malalamimiko kuhusu watumishi katika vituo vya huduma za afya vya umma na binafsi kutozingatia maadili ya taaluma ya afya.…